Saturday, April 20, 2013

Taa ya Solar ya Wakawaka imefanyiwa majaribio rasmi nchini Tanzania na kuonekana kwamba inafaa sana kwa matumizi yake hasa pale panapo kosekana umeme wa kawaida. Kuwepo kwa mwanga wa jua mkali kwa mwaka mzima kumethibitisha hii taa kuwa bora na yenye manufaa zaidi.


Mlinzi wetu aliipenda Wakawaka kwani ilimpatia mwanga wa kutosha usiku.



Mwanga mwingi wa kutosha unakuwezesha kuchaji Wakawaka mahali popote!

No comments:

Post a Comment